Elimu

Shule ya Kimataifa ya FK

1/5.0 - Imepata 0 Maoni
5 Nyota
4 Nyota
3 Nyota
2 Nyota
1 Nyota

Shule ya Kimataifa ya FK

FK International Schools ni shule ya kimataifa iliyoko Dar es Salaam, ilianzishaji mwaka 1997 na kuanza kutoa mitaala ya Kiingereza ya Cambridge rasmi tangu 2013,Ina matawi mawili kampasi ya awali/msingi (Africana, Mbezi Beach) na kampasi ya sekondari (Bahari Beach).Ni shule ya jinsia zote (co-ed), yenye wanafunzi kutoka nchi zaidi ya 20

Tovuti
https://fkschools.sc.tz/

Barua pepe
[email protected]

Simu
+255 758011030

Sign In