Juisi ya Embe
Juisi ya Embe ni Juisi Kutoka Azam Beverage yenye ladha halisi ya embe. Inatengenezwa kwa kutumia matunda ya embe Juisi hii hupatikana madukani kote nchini na ni chaguo bora kwa wale wanaotaka kufurahia kinywaji chenye ladha ya asili ya embe kwa matumizi ya kila siku.
Azam Cola
oda yenye ladha ya cola, maarufu nchini Tanzania.
Azam Malti
Kinywaji cha malt kisicho na kilevi, kilichotengenezwa kwa nafaka za malti na ladha ya kipekee.
Juisi ya Ukwaju
Ni Juisi Yenye radha ya Ukwaju ambayo hupatikana madukani kote nchini Tanzania na nchi za Jirani.
Azam Energy Drink
Kinywaji cha nishati kinachotoa nguvu haraka, kilichotengenezwa kwa mchanganyiko wa virutubisho na caffeine.
Usambazaji na Uuzaji
Bidhaa za Azam Beverages zinapatikana katika maduka makubwa, maduka madogo, na maeneo mengine ya biashara kote nchini Tanzania.
Huduma kwa Wateja
Azam Beverages inatoa huduma kwa wateja wake, ikiwa ni pamoja na majibu ya maswali, malalamiko, na mapendekezo kuhusu bidhaa zao.
Kua wa kwanza Kutoa Maoni Yako
Andika Maoni yako ili kuwasaidia wengine kujifunza kuhusu biashara hii
Andika Maoni YakoAzam Bevarage
Azam Beverages ni sehemu ya Bakhresa Food Products Ltd, kampuni inayomilikiwa na Bakhresa Group ya Tanzania. Azam Beverages inajivunia kuwa mzalishaji na msambazaji wa vinywaji mbalimbali vya baridi, ikiwa ni pamoja na soda, juisi za matunda, vinywaji vya nishati, na bidhaa za asili kama vile ice cream
Tovuti
https://bakhresa.com/beverages
Barua pepe
[email protected]
Simu
+255 222861116