Soda
Coca-Cola, Fanta (ladha mbalimbali), Sprite, Stoney Tangawizi, Sparletta, Krest (Bitter Lemon, Tonic Water, Soda Water), Schweppes C+
Juisi za Matunda
Minute Maid (ladha mbalimbali), Cappy (juisi ya matunda yenye ladha asilia).
Vinywaji vya Zero Sugar
Hivi ni aina za vinywaji ambavyo havina sukari, maalum kwa watu wenye matatizo ya kiafya, bidhaa hizi ni kama Coca-Cola Zero Sugar, Fanta Zero, Sprite Zero.
Usambazaji na Uuzaji:
Bidhaa za Coca-Cola Kwanza zinapatikana katika maduka makubwa, maduka madogo, na maeneo mengine ya biashara kote nchini Tanzania
Huduma kwa Wateja
Coca-Cola Kwanza inatoa huduma kwa wateja wake, ikiwa ni pamoja na majibu ya maswali, malalamiko, na mapendekezo kuhusu bidhaa zao
Huduma kwa Taasisi na Mashirika
Coca-Cola Kwanza hutoa huduma maalum kwa taasisi na mashirika yanayohitaji vinywaji kwa wingi, ikiwa ni pamoja na huduma ya usambazaji na bei maalum.
Kua wa kwanza Kutoa Maoni Yako
Andika Maoni yako ili kuwasaidia wengine kujifunza kuhusu biashara hii
Andika Maoni YakoCocacola Tanzania
Coca-Cola Kwanza ni kampuni tanzu ya Coca-Cola Beverages Africa (CCBA) inayohusika na uzalishaji, usambazaji na uuzaji wa vinywaji baridi nchini Tanzania. Kampuni hii ina viwanda viwili vya kuzalisha vinywaji: moja iko Mikocheni, Dar es Salaam, na nyingine iko Mbeya.
Tovuti
http://www.coca-cola.co.tz
Barua pepe
[email protected]
Simu
+255 784104600