Celebrity Club
Celebrity Night Club ni moja kati ya maeneo maarufu ya burudani jijini Dar es Salaam, hasa kwa wapenzi wa maisha ya usiku. Iko Mikocheni, ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, katika Mkoa wa Dar es Salaam. Eneo halisi ni kwa Nyerere. Celebrity Night Club ni mahali ambapo watu hukutana kwa burudani, vinywaji, muziki wa moja kwa moja (live music), na DJ’s wenye uwezo wa kuamsha hisia.
Tovuti
https://www.instagram.com/celebrityclub_tz/reel/C0W3zWdtodb/
Barua pepe
celebrityclub@celebrityclubtz
Simu
+255 749900906