Songesha
Inatolewa na Mtandao Vodacom Tanzania
Songesha ni huduma ya kifedha ya muda mfupi inayotolewa na Vodacom Tanzania, inayomuwezesha mteja kukopa kiasi cha fedha ili kukamilisha muamala kupitia M-Pesa pale ambapo salio lililopo halitoshi. Kiasi kilichokopwa hulipwa baadaye ndani ya muda uliopangwa, pindi mteja atakapoweka salio kwenye akaunti yake ya M-Pesa