Songesha

Inatolewa na Mtandao Vodacom Tanzania
0/5.0- Imepata 0 Maoni
Hakuna maoni ya kutosha. Acha maoni yako kuwasaidia wengine!

Songesha

Inatolewa na Mtandao Vodacom Tanzania

Songesha ni huduma ya kifedha ya muda mfupi inayotolewa na Vodacom Tanzania, inayomuwezesha mteja kukopa kiasi cha fedha ili kukamilisha muamala kupitia M-Pesa pale ambapo salio lililopo halitoshi. Kiasi kilichokopwa hulipwa baadaye ndani ya muda uliopangwa, pindi mteja atakapoweka salio kwenye akaunti yake ya M-Pesa

Sign In