Voda bima
Inatolewa na Mtandao Vodacom Tanzania
Kampuni ya Vodacom inakupatia huduma ya VodaBima ili kujipunguzia uzito wa gharama kwa kuwa na bima ambayo inakupatia unafuu mkubwa pindi majanga yanapokufika. Tumia M-pesa app au Piga *150*00# >huduma za kifedha > Vodabima au unaweza kupiga number 100 ili kufahamu jinsi ya kujiunga na bima hii.