Voda bima

Inatolewa na Mtandao Vodacom Tanzania
0/5.0- Imepata 0 Maoni
Hakuna maoni ya kutosha. Acha maoni yako kuwasaidia wengine!

Voda bima

Inatolewa na Mtandao Vodacom Tanzania

Kampuni ya Vodacom inakupatia huduma ya VodaBima ili kujipunguzia uzito wa gharama kwa kuwa na bima ambayo inakupatia unafuu mkubwa pindi majanga yanapokufika. Tumia M-pesa app au Piga *150*00# >huduma za kifedha > Vodabima au unaweza kupiga number 100 ili kufahamu jinsi ya kujiunga na bima hii.

Sign In