Ofa Maalum kwa Shughuli Maalum
Inatolewa na Mc Enna Kiondo
MC Enna Kiondo hutoa ofa maalum kwa baadhi ya shughuli kama harusi za kifamilia, birthday za watoto au matukio ya kijamii yenye bajeti ndogo. Pia anazingatia hali ya mteja na mazingira ya tukio kwa kufanya maelewano ya bei, kulingana na aina ya hafla, eneo na muda wa huduma