Tuzo Points
Inatolewa na Mtandao Vodacom Tanzania
Tuzo Points ni mfumo wa zawadi unaotolewa na Vodacom Tanzania, ambapo mteja hupata pointi kila anapoongeza salio kwenye simu yake. Pointi hizi hukusanywa na zinaweza kutumika kununua vifurushi vya mawasiliano au kulipia bidhaa na huduma mbalimbali kulingana na idadi ya pointi alizonazo mteja.