Airtel SmartCard

Inatolewa na Mtandao wa Airtel Tanzania
0/5.0- Imepata 0 Maoni
Hakuna maoni ya kutosha. Acha maoni yako kuwasaidia wengine!

Airtel SmartCard

Inatolewa na Mtandao wa Airtel Tanzania

Airtel SmartCard ni huduma inayomuwezesha mtumiaji wa Airtel kutengeneza kadi ya kidijitali kwa ajili ya kufanya malipo mbalimbali ya mtandaoni. Kupitia huduma hii, mtumiaji anaweza kutumia salio lake la Airtel Money kufanya manunuzi kwenye majukwaa ya mtandaoni yanayokubali malipo kwa njia ya kadi, bila kuwa na akaunti ya benki au kadi ya kawaida.

Sign In