Vifurushi Vya Jumbe Fupi (SMS)
Inatolewa na Mtandao Tigo/YAS
Bando za Ujumbe Mfupi (SMS) ni huduma inayotolewa na Yas Tanzania inayowawezesha wateja kutuma jumbe fupi za maandishi (SMS) kwenda ndani ya mtandao wa Yas au kwenda mitandao mingine nchini. Huduma hii inalenga kurahisisha mawasiliano kwa maandishi kwa kutoa vifurushi vya SMS vinavyokidhi mahitaji mbalimbali ya wateja.