Ushauri wa Kisheria (Legal Advisory Services)
Inatolewa na A&K Tanzania
Wanatoa ushauri wa kisheria katika nyanja tofauti kama vile sheria za ardhi, ndoa, mirathi, biashara, ajira, na mali miliki. Hii huwasaidia wateja kufanya maamuzi sahihi kabla ya kuchukua hatua yoyote ya kisheria.