Rating
Distance

African Big Cats Safaris
African Big Cats Safaris ni kampuni ya utalii iliyo na ofisi kuu jijini Arusha, Tanzania. Kampuni hii inajihusisha na upangaji na uendeshaji wa safari mbalimbali za watalii katika maeneo ya vivutio vya kitalii ndani ya Tanzania. Inamilikiwa na kuende...

Lion King Adventures
Lion King Adventures ni kampuni ya utalii iliyoanzishwa na kuendeshwa na familia nchini Tanzania, yenye makao makuu yake jijini Arusha. Kampuni hii ina uzoefu katika kupanga na kuendesha safari mbalimbali za watalii ndani ya Tanzania. Inafanya kazi n...

Maisha Supermarket
Maisha Supermarket ni sehemu ya biashara inayouza bidhaa mbalimbali za matumizi ya kila siku. Wanauza bidhaa kama mchele, unga, sukari, maharage, na tambi, pamoja na bidhaa zilizogandishwa kama kuku, nyama, na samaki

Mlimani City Shopping Mall
Mlimani City Shopping Mall ni jumba kubwa la ununuzi lililozinduliwa Novemba 2006, likiwa ni jumba la kwanza lenye hali ya hewa ya ndani nchini Tanzania

Shoppers Plaza
Shoppers Supermarket ni moja ya maduka makubwa ya rejareja nchini Tanzania yanayojihusisha na uuzaji wa bidhaa mbalimbali za kila siku kwa wateja wa aina zote. Duka hili linahudumia watu binafsi, familia na wafanyabiashara kwa kuuza bidhaa katika kiw...

Cheka tu live Comedy show
Cheka Tu ni onyesho la ucheshi linalofanyika moja kwa moja jukwaani (live stand-up comedy), likiwakutanisha wachekeshaji mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya Tanzania. Onyesho hili limekuwa likifanyika kila mwezi, na kila toleo huwa na mada tofauti in...

Bruno Games and Movies
Burno Games and Movies ipo kama kituo mabasi Mawasiliano, Dar es salam. Ni mahali ambapo wapenzi wa michezo ya video na filamu hukutana kwa ajili ya kujiburudisha, kujaribu michezo mipya, na kupata huduma mbalimbali zinazohusiana na burudani ya kisas...

Fun retreat resort
Fun Retreat ni sehemu ya mapumziko na burudani iliyopo Moshono, Arusha. Eneo hili lina mandhari ya asili na mazingira tulivu, na hutembelewa na watu mbalimbali kwa ajili ya kupumzika na kufanya shughuli za burudani. Kuna bwawa la kuogelea, sehemu za...

Fun City Kigamboni
Fun City Kigamboni inapatikana eneo la Kigamboni, Dar es Salaam. Ni moja ya kumbi za starehe na burudani ambapo watu huenda kujumuika na kufurahi pamoja na familia zao au marafiki. Mahali hapa hutoa fursa ya kufanya shughuli mbalimbali za kujiburudis...

Ubongo Kids
Ubongo Kids ni katuni ya elimu inayolenga watoto wa umri wa miaka 7 hadi 13. Inasimulia hadithi za marafiki watano wanaopenda kujifunza sayansi, teknolojia, uhandisi, na hisabati (STEM), pamoja na stadi za maisha. Wahusika hao hutumia maarifa yao kut...