Rating
Distance

K4D Beauty Parlour Hair salon
K4D Beauty Parlor ni sehemu yako ya kisasa ya huduma za kukata nywele na urembo katika moyo wa Dar es Salaam (Tanzania). Tunatoa huduma nyingi ikiwa ni pamoja na Kukata nywele, huduma za matunzo ya uso na ngozi, na Massage ya Tiba...... Tunahakikisha...

Natural Hair Salon Tanzania
Natural Hair Salon Tanzania ni saluni maalumu inayojikita katika kutunza na kutengeneza nywele asili (natural hair) bila kutumia dawa za kemikali

Fred Salon HairStylist
Fred Salon HairStylist ni saluni inayojikita katika huduma za utengenezaji wa nywele kwa wanaume na wanawake.

The Great Park Tabata
The Great Park ni ukumbi wa burudani uliopo eneo la Tabata Barakuda, Dar es Salaam. Ni sehemu maarufu kwa wakazi wa eneo hilo na maeneo jirani, inayojulikana kwa kutoa huduma mbalimbali za starehe na mapumziko

Club Bilicanas
Club Bilicanas ni moja ya kumbi za burudani kongwe na zenye historia ndefu nchini Tanzania. inapatikana kwenye Mkwepu na Makunganya Street, katikati ya jiji la Dar es Salaam Ukumbi huu ni sehemu maarufu ya mikusanyiko ya usiku, ukihudumia wageni w...

The Next Door Masaki
The Next Door ni ukumbi wa kisasa uliopo Masaki, Dar es Salaam, katika barabara ya Haile Selassie. Ukumbi huu umejipambanua kama sehemu ya mikusanyiko ya kijamii na burudani, ukiwa umejengwa kwa mtazamo wa kuunganisha michezo, muziki na mapumziko kat...

Tips Mikocheni Club
Tips Lounge ni eneo lililopo Mikocheni, Dar es Salaam. Ni mahali ambapo watu hukutana kwa shughuli mbalimbali za kijamii na burudani. Mazingira ya eneo hili yanajumuisha muziki, vinywaji, chakula, na maonyesho ya moja kwa moja ya sanaa mbalimbali

Kitambaa Cheupe
Kitambaa Cheupe ni eneo la burudani linalopatikana katika maeneo ya Sinza, na Tabata jijini Dar es Salaam. Ni sehemu maarufu kwa wapenzi wa starehe, ikijulikana kwa kutoa huduma mbalimbali kulingana na aina ya wageni wanaohudhuria. sehemu hii huj...

Celebrity Club
Celebrity Night Club ni moja kati ya maeneo maarufu ya burudani jijini Dar es Salaam, hasa kwa wapenzi wa maisha ya usiku. Iko Mikocheni, ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, katika Mkoa wa Dar es Salaam. Eneo halisi ni kwa Nyerere. Celeb...

Lande Beauty Salon Hq
Lande Beauty Salon HQ ni saluni ya kisasa inayotoa huduma mbalimbali za urembo kwa wanawake, ikiwa na wataalamu waliobobea katika maeneo ya ususi, urembo wa kucha, na makeup.